YANGA 1-1 LIPULI 'LIVE' KIPINDI CHA PILI, UWANJA WA UHURU


Kipindi cha pili kimeanza.

Mapumziko

Wachezaji wa Lipuli wanalalamika kuwa mpira ulikuwa haijaingia baada ya Ngoma kuupiga kichwa, lakini mwamuzi anaweka kati.
Dk ya 45: GOOOOOOOOOOOOOOO!!! Yanga wanasawazisha kupitia kwa Ndoma lakini utata unatokea.
Lipuli wanapata bao kupitia kwa Seif Abdallah ambaye akicheza vizuri kwa kuwatoka walinzi wa Yanga kabla ya kufunga.
Dk ya 44: GOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO!!!
Dk ya 43: Ngoma anaingia na mpira lakini anazuiliwa.Dk ya 42: Ksi ya mchezo imebalansi kwa timu zote.
Dk ya 38: Mchezo unaendelea.
Dk ya 36: Yanga wanapata kona, inapigwa kipa wa Lipuli anachezewa fau, mchezo unasimama kw amuda anatibiwa.
Dk ya 31: Yanga wanapata kona, inapigwa na Juma Abdul, inaokolewa na kuwa kona nyingine.
Dk ya 27: Yanga wanapata nafasi ya kufunga kupitia Raphael Daudi lakini anashindwa kutumia vizuri nafasi.
Dk ya 22: Yanga wanapata kona ya pili lakini inaokolewa.
Dk ya 20: Lipuli wanafanya shambulizi kali, mpira wa kichwa ulipigwa na Seif unapaa juu ya lango baada ya kuwatoka walinzi.
Dk ya 17: Yanga wanapata kona, inapigwa lakini inaokolewa, kunatokea vuta nikuvute kati ya beki wa Lipuli, Novalty Lufunga na straika wa Yanga, Donald Ngoma.
Dk ya 16: Yanga wameanza kupiga pasi nyingi za kuelewana.
Dk ya 14: Lipuli bado wanaonekana kuwa imara na kutowaruhusu Yanga kucheza soka la kuutawala mchezo.
Dk ya 11: Lipuili wanafika langoni mwa Yanga lakini mpira unapaa juu ya lango.
Dk 8: Tshishimbi na Ngoma wanacheza pasi nzuri lakini mpira unatoka.
Dk ya 5: Yanga wanamiliki mpira muda mwingi.Dk ya 1: Mchezo umeanza kwa kasi ndogo.
Kipindi cha kwanza kimeanza, huu ni mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, timu zote zimeingia uwanjani kucheza mchezo wao wa kwanza msimu wa 2017/18.
27Aug2017

Comments